Habari za Punde

RAIS DK SHEIN AHUDHURIA MAULIDI YA MTUME-TEME​KE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ALhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Sheikh Alhad Mussa Salum,alipowasili katika msikiti Masjid majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho kuhudhuria katika maulid ya Mtume Muhamad SAW.

Wanamadrasatul Az-har ya Koma Kisiwani Dar es Salaam,wakisoma Qaswida

Ya swalatu Alan Nabii,katika Maulid ya Kumswalia Mtume Muhammad

SAW,yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa

Temeke mwisho.
Sheikh,Dk.Usama Mohammed Esmail,kutoka nchini Misri akitoa mawaidha wakati wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW,yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke
mwisho,yaliyohudhuriwa na Viongozi wa Dini mbali mbali,na mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiwaongoza Viongozi mbali mbali wa Dini na Serikali katika Maulid ya Mtume Muhammad S.A.W yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho
 Sheikh Alhad Mussa Salum,wa Mkoa wa Dar es Salaam,akiwatambulisha wageni mbali mbali waliohudhuria katika Maulid ya Mtume S.A.W. yaliyohudhuriwa na maelfu ya waumini wa Jiji la
Dar es Salaam,katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho

Wanamadrasatul Az-har ya Koma Kisiwani Dar es Salaam,wakisoma Qaswida Ya swalatu Alan Nabii,katika Maulid ya Kumswalia Mtume Muhammad SAW,yaliyofanyika jana katika Msikiti Masjid Majmuatil Islamia,wa Temeke mwisho.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.