Mdau mambo ya embe kery wakati wa enzi zetu tukiwa skuli ya kidutani pale chini ya mshelisheli wazee wakiwa na biashara hiyo na nyengine nyingi bado watoto wetu na ndugu zetu wanafaidi embe kery wakiwa katikamaeneo ya skuli ya kajificheni na hamamni wakijipatia embekery. naona unamezea mate kutokana na sifa za embe ukiona huvutiwa na kujaa na mate mdomoni. kazi kwako mdau.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
Naam embe keri hiyo
ReplyDelete