Michukuano ya kusherehekea maadhimishi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mchezo wa Nage inayowashirikisha Vijana wa Majimbo ya Wilaya ya Mjini yamekuwa kivutio kwa wapenzi wa mchezo huo wakifuatilia mchezo kati ya Jimbo la Rahaleo na Kikwajuni mchezo uliofanyika katika kiwanja cha Komba Wapya Kijangwani. Timu ya Rahaleo imeshinda katika mchezo huo.
NAIBU WAZIRI LONDO AITAKA WMA KUSIMAMIA SHERIA KULINDA HAKI ZA MLAJI
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ameitaka Wakala wa
Vipimo (WMA) nchini kuongeza uwajibikaji katika kusimamia kikamilifu
utekelezaji wa S...
1 hour ago
0 Comments