Michukuano ya kusherehekea maadhimishi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mchezo wa Nage inayowashirikisha Vijana wa Majimbo ya Wilaya ya Mjini yamekuwa kivutio kwa wapenzi wa mchezo huo wakifuatilia mchezo kati ya Jimbo la Rahaleo na Kikwajuni mchezo uliofanyika katika kiwanja cha Komba Wapya Kijangwani. Timu ya Rahaleo imeshinda katika mchezo huo.
WAZIRI JAFO AIPONGEZA WMA KUSIMAMIA KIKAMILIFU UBORA WA BIDHAA
ZINAZOZALISHWA VIWANDANI
-
*WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizungumza leo Mei
13,2025,jijini Dodoma,katika Kikao cha Menejimenti ya Wakala wa Vipimo
Tanzan...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment