Michukuano ya kusherehekea maadhimishi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mchezo wa Nage inayowashirikisha Vijana wa Majimbo ya Wilaya ya Mjini yamekuwa kivutio kwa wapenzi wa mchezo huo wakifuatilia mchezo kati ya Jimbo la Rahaleo na Kikwajuni mchezo uliofanyika katika kiwanja cha Komba Wapya Kijangwani. Timu ya Rahaleo imeshinda katika mchezo huo.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment