Michukuano ya kusherehekea maadhimishi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mchezo wa Nage inayowashirikisha Vijana wa Majimbo ya Wilaya ya Mjini yamekuwa kivutio kwa wapenzi wa mchezo huo wakifuatilia mchezo kati ya Jimbo la Rahaleo na Kikwajuni mchezo uliofanyika katika kiwanja cha Komba Wapya Kijangwani. Timu ya Rahaleo imeshinda katika mchezo huo.
KIBAHA FDC YAFANYA MAHAFALI YA 53, YAIBUKA KINARA WA MAFUNZO YA UJUZI
-
Na Mwandishi Wetu,Kibaha
CHUO cha Maendeleo ya Wananchi Kibaha (FDC Kibaha) kimesema kinajvunia
kuendelea kukuza ujuzi wa kazi kwa vijana pamoja na kubor...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment