Michukuano ya kusherehekea maadhimishi ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mchezo wa Nage inayowashirikisha Vijana wa Majimbo ya Wilaya ya Mjini yamekuwa kivutio kwa wapenzi wa mchezo huo wakifuatilia mchezo kati ya Jimbo la Rahaleo na Kikwajuni mchezo uliofanyika katika kiwanja cha Komba Wapya Kijangwani. Timu ya Rahaleo imeshinda katika mchezo huo.
CP.Kombo Awahakikishia Wananchi Usalama Siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025
Zanzibar
-
Jeshi la Polisi limewataka wananchi kutokuwa na hofu ya ulinzi na usalama
wao siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025 na limewasihi wakapige kura na
limewahakik...
24 minutes ago

No comments:
Post a Comment