Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Feb 4, 2014, kwa mazungumzo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Feb 4, 2014, kwa mazungumzo. Picha na OMR
GEL yawataka wanaokwenda kusoma nje ya nchi kuzingatia masomo
-
Na Joseph Mwendapole
WAKALA wa Elimu ya Vyuo Vikuu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL),
imewataka wazazi ambao watoto wao wamekosa nafasi za kusoma vy...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment