Habari za Punde

Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati awasili Zanzibar kwa ziara ya Siku mbili.

Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa Swaziland Queen Nomsa  Matsebula akivishwa shada la maua baada ya kuwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku mbili,ambapo atatembelea sehemu mbalimbali ikiwa pamoja na Kizimbani,Shangani na Mji mkongwe wa Zanzibar.
Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa Swaziland Queen Nomsa  Matsebula katikati akifuatana na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Zainabu Omar wakwanza kushoto baada ya kuteremka Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.
Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa Swaziland Queen Nomsa  Matsebula kushoto akibadilishana mawazo na Waziri wa Uwezeshaji Ustawi wa Jamii Vijana Wanawake na Watoto Zainabu Omar katika Ukumbi wa Uwanja wa ndege mara baada ya kuwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.