Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki na jazba ili kuwaondolea gharama za matatizo wao wenyewe na familia zao. Wito huo umetolewa na Kamishna wa Polisi zanzibar Hamdan Omar Makame alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari huko makao makuu ya Polisi zanzibar.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment