SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar inapaswa kutafuta
sehemu maalumu ya kuhifadhi magari ya zamani, ambayo yalitembea kisiwani Pemba
katika miaka ya 1970, gari hizo zinaweza kuwa moja ya vivutio vikubwa vya
utalii, ni moja ya daladala za kisiwani Pemba ambazo zinaweza kuwa historia
kubwa kwa vizazi vijavyo, pichani gari aina ya daladala za mbavu za mbwa,
ambalo kwa sasa limekufa kabisa.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAFANYABIASHARA MKOANI KILIMANJARO WASISITIZWA KUENDELEA KULIPA KODI KWA
MAENDELEO YA TAIFA
-
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu ametoa hamasa kwa
Wafanyabiashara Mkoani hapo kuendelea kulipa kodi stahiki ili maendeleo ya
nchi yazidi ku...
1 hour ago
Inashindwa kuhifadhi majengo na maeneo mengine ya historian, serikali itaweza kweli kuhifadhi hizo scrappers.
ReplyDeleteInashindwa kuhifadhi majengo na maeneo mengine ya historia, serikali itaweza kweli kuhifadhi hizo scrappers.
ReplyDelete