Mjasiriamali wa matunda aina ya embe katika mji wa Zanzibar akijitayarisha kuweka sawa bidhaa hizo ili kuweza kupanga fungu moja la embe dodo huuzwa kati ya shilingi 1000/= kwa embe tatu na embe tano huuzwa shilingo 2000/= katika maeneo ya Zanzibar.
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment