Mjasiriamali wa matunda aina ya embe katika mji wa Zanzibar akijitayarisha kuweka sawa bidhaa hizo ili kuweza kupanga fungu moja la embe dodo huuzwa kati ya shilingi 1000/= kwa embe tatu na embe tano huuzwa shilingo 2000/= katika maeneo ya Zanzibar.
Msimu wa Embe ukiwa Umetia Fora Zenj Mwaka Huu.
byzanzinews.com
-
0