Mjasiriamali wa matunda aina ya embe katika mji wa Zanzibar akijitayarisha kuweka sawa bidhaa hizo ili kuweza kupanga fungu moja la embe dodo huuzwa kati ya shilingi 1000/= kwa embe tatu na embe tano huuzwa shilingo 2000/= katika maeneo ya Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment