Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.
WAZIRI MKUU ATEMBELEA MABANDA YA MAONESHO KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA
SIKU YA KIMATAIFA YA UELEWA KUHUSU UALBI
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Mkurugenzi wa Taasisi ya World
Share, Bw. Worm Ann (wa pili kushoto) alipotembelea banda la maonesho la
taasisi...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment