Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akipunga bendera (flag off) kuashiria uzinduzi rasmi
wa usafirishaji wa mizigo kwa kutumia usafiri wa Treni ya umeme ya SGR kutoka
Dar es Salaam hadi Dodoma kwenye hafla fupi iliyofanyika katika eneo la Marshalling
Yard, Kwala Mkoani Pwani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Bandari Kavu ya Kwala (Kwala Dry Port) iliyopo Kwala Kibaha vijijini mkoani Pwani tarehe 31 Julai, 2025.

No comments:
Post a Comment