TAASISI mbali mbali zinapaswa kuwa makini nchini,
zinaposafirisha vifaa vyao barabarani ili visije vikasababisha madhara kwa
wengine, pichani gari la Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Pemba likiwa
limepakia pipa za lami bila ya kuzifunga, jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwa
wengine.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
Zaidi ya Tani 600 za ufuta zauzwa Tunduru, Bei yapanda.
-
Tunduru – Ruvuma.
Wakulima wa zao la ufuta katika Wilaya ya Tunduru wameonyesha kuridhishwa
na mchakato wa mauzo kupitia mfumo wa mnada wa wazi, ambapo k...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment