Habari za Punde

Nyumba inauzwa!








Ipo Maungani ina vyumba vinne na vyoo vitatu. Ni ya kisasa na ipo katika hali nzuri. 

Pia katika uzio (fence) kuna banda la mtumishi au mfanyakazi ambalo lina chumba, choo, jiko na stoo.

Bei ni shs 95,000,000 kwa maelezo Zaidi au kuiona piga simu namba 0777275551 ulizia Khalid

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.