Habari za Punde

Wanafunzi skuli ya Msingi Ndagoni wapewa taaluma juu ya maafa

 WANAFUNZI mbali mbali wa skuli ya Msingi Ndagoni Wilaya ya Chake Chake, wakiwa makini kufuatia mada mbali mbali zinazohusiana na maafa, wakati walipokuwa wakipatia taaluma hiyo kutoka Idara ya Maafa Pemba.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 WANAFUNZI wa Skuli ya Msingi Ndagoni wakimsikiliza Maratib wa Idara ya Maafa Pemba, Khamis Razak hayupo pichani wakati alipokuwa akitoa aina za maafa kwa wanafunzi hao.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
 MRATIB wa Idara ya maafa Pemba Khamis Arazak akizungumza na wanafunzi wa skuli ya Msingi Ndagoni, juu ya mambo mbali mbali ya kujikinga na maafa wakati yanapotokea.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)
KAIMU Mkurugenzi wa kamisheni ya kukabiliana na Maafa Zanzibar Makame Khatib Makame,akizungumza na wanafunzi wa skuli ya ndagoni Msingi, juu ya kukabiliana na maafa yanapotokea.(Picha na Hanifa Salim, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.