Habari za Punde

Mvanila uanvyoanzwa kuwekezwa Pemba


 MJASIRIAMALI wa bidhaa za Vanila Kutoka Mtambwe Wilaya ya Wete, Bakari Mataka akiwapatia begu za mti wa Mvanila, Wajasiriamali kutoka Wilaya ya Micheweni wakati wa ziara ya kujifunza mambo yanayohusu Utalii kwa Vitendo, katika utekelezaji wa sera ya Utalii kwa Wote.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

MDHAMINI wa Kamisheni ya Utalii Kisiwani Pemba, Suleiman Amour Suleiman, akipokea mche wa mti wa Mvanila kutoka kwa mjasiri amali wa Vanila kutoka Mtambwe Bakari Mataka.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.