Add caption |
JENGO ambalo
linatarajiwa kuwa skuli za sekondari lililopo Mkanyageni wilaya ya Mkoani Pemba,
ambalo lilitumika kwa ajili ya baraza la Eid-el Hajji, lililohutubiwa na rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
GWARIDE
maalum lilioandaliwa kwa ajili ya kumkaribisha rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, kwenye baraza la Eid-el hajji
Mkanyageni Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
GWARIDE
maalum lilioandaliwa kwa ajili ya kumkaribisha rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa baraza la Mapinduzi Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, kwenye baraza la Eid-el hajji
Mkanyageni Mkoani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MTANGAZAJI wa ZBC-redio Pemba Mchanga Haroub
Shehe, akirusha matangaazao ya moja kwa moja kwenye baraza la Eid-el hajji,
lililofanyika Mkanyageni wilaya ya Mkoani Pemba na kuhutubiwa na rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi, Mhe: dk: Ali Mohamed Shein, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe: dk Ali Mohamed Shein akipokea gwaride la heshima
kutoka kwa wapiganaji wa Jeshi la Polisi, lililoandaliwa kwa ajili yake, kabla
na baada ya kulihutubia baraza la Eid lililofanyika Mkanyageni Mkoani Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
VIONGOZI kadhaa waliohudhuria baraza la eid
el-hajii lililofanyika Mkanyageni wilaya ya Mkoani na kuhutubiwa na Rais wa
Zanzibar Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
VIONGOZI kadhaa waliohudhuria baraza la eid
el-hajii lililofanyika Mkanyageni wilaya ya Mkoani na kuhutubiwa na Rais wa
Zanzibar Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
VIONGOZI kadhaa waliohudhuria baraza la eid
el-hajii lililofanyika Mkanyageni wilaya ya Mkoani na kuhutubiwa na Rais wa
Zanzibar Mhe: Dk Ali Mohamed Shein, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akiwa na Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume wakati wa sherehe za Baraza la Eid El Hajj lililofanyika leo katika ukumbi wa Skuli mpya ya Mkanyageni Mkoa wa kusini Pemba
Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe Bi Mwanajuma Majid ( katikati) akiwa na Kamishna wa Polisi Zanzibar Mhe Hamdan Makame pamoja na Spika wa Baraza la Wawkilishi Zanzibar, Mhe Zubeir Juma Maulid wakati wa sherehe za Baraza la Eid El Hajj lililofanyika leo katika ukumbi wa Skuli mpya ya Mkanyageni Mkoa wa kusini Pemba
WAZIRI wa Nchi afisi ya Rais, Katiba,
Sheri, Utumishi wa umma na Utawala bora Zanzibar Mhe: Haroun Ali Suleiman
akizungumza kwenye baraza la Eid-elhajji lililofanyika Mkanyageni wilaya ya
Mkoani Pemba, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
baraza la mapinduzi Zanzibar Mhe: Dk, Ali Mohamed Shein akizungumza kwenye
baraza la Eid-elhajji lililofanyika Mkanyageni wilaya ya Mkoani Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment