Kijana huyu anayejulikana kwa jina ka Bakari Abdalla ambaye yuko Nchini Oman anafanya kazi kwa sasa amepata ajali ya kuunguzwa kwa moto wa gesi akiwa katika kazi na sasa yuko katika hospitali nchini humo kwa mujibu wa taarifa tulioyoipata ameathirika na ajali hiyo ya moto wa gesi na yuko katika chumba cha ICU akiendelea kupata matibabu.
Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani
-
Na Mwandishi Wetu, Mbeya
VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania
kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofan...
23 minutes ago


No comments:
Post a Comment