Kijana huyu anayejulikana kwa jina ka Bakari Abdalla ambaye yuko Nchini Oman anafanya kazi kwa sasa amepata ajali ya kuunguzwa kwa moto wa gesi akiwa katika kazi na sasa yuko katika hospitali nchini humo kwa mujibu wa taarifa tulioyoipata ameathirika na ajali hiyo ya moto wa gesi na yuko katika chumba cha ICU akiendelea kupata matibabu.
TRA Yazindua Mafunzo ya IDRAS, Taasisi 60 Kuunganishwa
-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia uzinduzi rasmi wa
Mfumo Jumuishi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani (IDRAS) unaotarajiwa
kufanyika Febr...
33 minutes ago

0 Comments