Kijana huyu anayejulikana kwa jina ka Bakari Abdalla ambaye yuko Nchini Oman anafanya kazi kwa sasa amepata ajali ya kuunguzwa kwa moto wa gesi akiwa katika kazi na sasa yuko katika hospitali nchini humo kwa mujibu wa taarifa tulioyoipata ameathirika na ajali hiyo ya moto wa gesi na yuko katika chumba cha ICU akiendelea kupata matibabu.
Watafiti wametakiwa kutumia mbinu shirikishi ili kupata matokeo chanya kwa
jamii
-
Watafiti wametakiwa kushirikisha makundi mbalimbali ya jinsia zote katika
hatua za awali za utafiti wao ili kupata taarifa zitakazoisadia Serikali
kutatu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment