Kijana huyu anayejulikana kwa jina ka Bakari Abdalla ambaye yuko Nchini Oman anafanya kazi kwa sasa amepata ajali ya kuunguzwa kwa moto wa gesi akiwa katika kazi na sasa yuko katika hospitali nchini humo kwa mujibu wa taarifa tulioyoipata ameathirika na ajali hiyo ya moto wa gesi na yuko katika chumba cha ICU akiendelea kupata matibabu.
CHAMA CHA USHIRIKA UDURU WASHINDA KESI,SHAMBA LARUDISHWA RASMI
-
*Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Hassan Bomboko, amesema kuwa, shamba la Chama
cha Ushirika Uduru Makoa lenye ukubwa wa ekari 358 limepokelewa rasmi na
ch...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment