Kijana huyu anayejulikana kwa jina ka Bakari Abdalla ambaye yuko Nchini Oman anafanya kazi kwa sasa amepata ajali ya kuunguzwa kwa moto wa gesi akiwa katika kazi na sasa yuko katika hospitali nchini humo kwa mujibu wa taarifa tulioyoipata ameathirika na ajali hiyo ya moto wa gesi na yuko katika chumba cha ICU akiendelea kupata matibabu.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment