ENEO ambalo mamlaka za wilaya
ya Chakechake Pemba, imeshalitenga kwa ajili ya kuwaweka wafanyabiashara
walioko soko la muda la ‘Katari’ ili wahamie eneo hilo la Michakaini ‘Kuweiti,
ambapo kwa sasa hutumiwa kwa ajili ya mnada wa Ng’ombe pekee, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
NHC YAUNGA MKONO MAENDELEO YA UNUNUZI NA UGAVI KUPITIA KONGAMANO LA KITAIFA
-
ARUSHA-Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linashiriki katika Kongamano la 16
la Mwaka la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi jijini Arusha.
Kongamano hilo ambal...
2 hours ago
0 Comments