ENEO ambalo mamlaka za wilaya
ya Chakechake Pemba, imeshalitenga kwa ajili ya kuwaweka wafanyabiashara
walioko soko la muda la ‘Katari’ ili wahamie eneo hilo la Michakaini ‘Kuweiti,
ambapo kwa sasa hutumiwa kwa ajili ya mnada wa Ng’ombe pekee, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TGNP YAWAKUTANISHA VIJANA WENYE ULEMAVU KUJADILI FURSA NA CHANGAMOTO
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), kwa kushirikiana na taasisi ya
Sightsavers na YOWDO, umeandaa jukwaa maalumu la vijan...
17 minutes ago
0 Comments