Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Ndondo Cup Yawekwa Dharani.


Na: Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.
Mashindano ya ujirani mwema Ndondo CUP inatarajiwa kuanza rasmi mnamo July 9, 2017 katika uwanja wa Maungani kati ya Mabingwa watetezi timu ya Miembeni dhidi ya Microtech ambapo Kamati ya Mashindano hayo pia imepanga makundi 4 katika timu 20 zitakazocheza.
KUNDI A
Miembeni, Kane Kombain, Birmingham, FC Lugalo na Microtech.
KUNDI B
Qatar, Kilimani City, Kikungwi, No Fair na Tandale.
KUNDI C
African Coast, Njaa kali, Zantex na Unajua Unacheza na Nani.
KUNDI D
Jamaica, Oklahoma, Mitondooni, Daladala na Chaani Stars. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.