Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma akipokea mchango wa fedha uliotolewa ahadi siku ya uzinduzi wa Mpango wa kukuza michezo maskulini ujulikanao kw jina la Sport55, kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa Kampuni ya Samos Ltd kupitia Hoteli ya Karafuu Zanzibar Ndg.Mkami Nyamhanga akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano, kuchangia mpango huo,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Elimu Zanzibar.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment