Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma akipokea mchango wa fedha uliotolewa ahadi siku ya uzinduzi wa Mpango wa kukuza michezo maskulini ujulikanao kw jina la Sport55, kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa Kampuni ya Samos Ltd kupitia Hoteli ya Karafuu Zanzibar Ndg.Mkami Nyamhanga akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano, kuchangia mpango huo,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Elimu Zanzibar.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment