Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma akipokea mchango wa fedha uliotolewa ahadi siku ya uzinduzi wa Mpango wa kukuza michezo maskulini ujulikanao kw jina la Sport55, kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa Kampuni ya Samos Ltd kupitia Hoteli ya Karafuu Zanzibar Ndg.Mkami Nyamhanga akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano, kuchangia mpango huo,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Elimu Zanzibar.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment