MSANII
mkongwe wa ushairi na uandishi wa vitabu visiwani, Zanzibar mzee Haji Gora Haji,
akionekana kwenye picha tofauti wakati akizungumza na Waziri wa Habari,
Utamaduni, Utalii na Michezo Rashid Ali Juma na Naibu wake Bichumu Kombo Khamis
pamoja na Mshauri wa Rais katika mambo ya utamaduni Chimbeni Kheri Chimbeni,
walipomtembelea Juni 14, 2017 huko Bububu Kihinani, anakouguzwa na wanawe.
Mzee Gora amekuwa akisumbuliwa na maradhi wa muda mrefu na kusita shughuli zake
za uandishi wa sanaa. (Picha zote na Yussuf Simai-MAELEZO, ZANZIBAR).
No comments:
Post a Comment