Habari za Punde

Masheha na Madiwani washiriki katika mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria

 MASHEHA na Madiwani wa mkoa wa kusini Pemba, wakifuatilia mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwenye mafunzo yaliotayarishwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika ofisini kwao mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MRATIBU wa mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Safia Saleh Sultan, akielezea lengo la mafunzo hayo, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, yaliofanyika ofisi ya ZLSC mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akielezea kazi na mikakati ya kituo, kwenye mafunzo ya ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo yalifanyika Kituoni kwao Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 KAIMU Katibu tawala wilaya ya Chakechake, Sheha Mpate Mtumwa, akifungua mafunzo ya ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo hayo yaliofanyika Kituoni kwao Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 MTOA mada ya Ugatuzi wa madaraka Said Makame Said, akielezea maana ya ugatuzi, kwa madiwani na msheha wa Mkoa wa kusini Pemba, kwenye mafunzo hayo yaliotayarisha na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika osifini kwao mjini Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akigusia kipengele cha mamlaka ya masheha kisheria, kwenye mafunzo ya kutambulisha kazi za wasaidizi wa sheria, kwa masheha na madiwani wa Mkoa wa kusini Pemba, yaliofanyika Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC mjini Chakechake,(Picha na Haji Nassor, Pemba).  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.