Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita
kwenye gwaride la Kimya lililoandaliwa kwa heshma na Jeshi la Uganda mara baada
ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini Uganda na kurejea nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Mke wake Mama Janeth Magufuli wakifurahia ngoma ya asili iliyokuwa ikipigwa na
watoto wa nchini Uganda katika eneo la mpakani la Mutukula kabla ya kurejea
nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Mke wake Mama Janeth Magufuli wakifurahia ngoma ya asili iliyokuwa ikipigwa na
watoto wa nchini Uganda katika eneo la mpakani la Mutukula kabla ya kurejea
nchini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Tanzania mara baada ya
kuwasili akitokea Uganda.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na wananchi wa mpakani Mutukula upande wa Tanzania mara baada ya
kuwasili akitokea Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na viongozi wakuu wa
Majeshi ya Uganda mara baada ya kumaliza ziara yake nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi wa
mpakani Mutukula upande wa Uganda mara
baada ya kumaliza ziara yake ya siku tau nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wananchi wa
mpakani Mutukula upande wa Uganda mara
baada ya kumaliza ziara yake ya siku tau nchini Uganda.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment