Wanafunzi wa Kidatu cha Nne Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki wakitoka Darasani baada ya kumaliza Mtihani wao wa Taifa wa soma la Civic kwa kipindi cha asubuhi na kuendelea na Mitihani yao mchana kwa somo la Jografia.
Wanafunzi wa Kidatu cha nne Skuli ya Sekondari ya Haile Sseilas wakiwa nje ya madarasa ya mitihani baada ya kumaliza mtihao wao wa Taifa kipindi cha asubuhi na kujikumbusha masomo yao kabla ya kurudi darasani kuendelea na mtihani unaofuata.
No comments:
Post a Comment