Nahodha wa Timu ya Zanzibar Heroes, Suleiman Kassin Selembe akimkabidhi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Chakula cha usiku alichowaandalia wachezaji wa Timu hiyo katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
MVUTANO VYAMA VYA WAFANYAKAZI KIKWAZO VIKAO BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA
ARDHI
-
*Na Mwandishi wetu- Morogoro*
Vikao vya baraza la Wafanyakazi vya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeelo ya
Makazi havikufanyika kwa wakati kama ilivyp...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment