Nahodha wa Timu ya Zanzibar Heroes, Suleiman Kassin Selembe akimkabidhi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Chakula cha usiku alichowaandalia wachezaji wa Timu hiyo katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na
Mustakabali wa Wanachama
-
*Dar es Salaam, Tanzania* – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili
maende...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment