Nahodha wa Timu ya Zanzibar Heroes, Suleiman Kassin Selembe akimkabidhi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Chakula cha usiku alichowaandalia wachezaji wa Timu hiyo katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
SHUGHULI ZA KIBINADAMU ZINAVYOTISHIA UWEPO WA BWAWA LA MINDU MOROGORO
-
*Na Chalila Kibuda,Globu ya jamiiMJI kasoro bahari!Hivyo ndivyo utasikia
baadhi ya wenyeweji wa Mkoa wa Morogoro wakiamua kuuzungumzia mkoa wa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment