Nahodha wa Timu ya Zanzibar Heroes, Suleiman Kassin Selembe akimkabidhi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Chakula cha usiku alichowaandalia wachezaji wa Timu hiyo katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
Afya : Tanzania Yatangaza Fursa Mpya za Uwekezaji Sekta ya Afya Kimataifa
-
Na Mwandishi Wetu, London
WAZIRI wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko
tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika ku...
4 minutes ago
0 Comments