Nahodha wa Timu ya Zanzibar Heroes, Suleiman Kassin Selembe akimkabidhi Jezi ya Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya Chakula cha usiku alichowaandalia wachezaji wa Timu hiyo katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment