Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya askari wa vikosi maalumu (makomandoo) wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) baada ya kufungua kituo cha mafunzo maalumu ya kijeshi huko Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Februari 6, 2018. Kushoto kwake ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Salvatory Mabeyo. Picha na IKULU
Ajenda ya kidigitali yashika kasi nchini kupitia Future Ready Summit na
Innovation Week 2025
-
Safiri Smart! Wataalamu kutoka sekta ya usafiri wakichambua njia za
kufungua fursa za kidigitali nchini Tanzania kupitia ubunifu, sera thabiti
na ushi...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment