Habari za Punde

Kikao cha wenyeviti wa kamati za maafa chakutana kuandaa mikakati madhubuti ya kukabiliana na maafa kisiwani Pemba

 AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamu wa PIli wa Rais Pemba, Ali Salim Ali Mata, akuzungumza katika kikao cha wenyeviti wa kamati za maafa Wilaya na kamati ya kitaalamu, juu ya kuandaaa mikakati madhubuti ya kukabiliana na maafa mwaka huu.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
 WENYEVITI wa kamati za maafa za Wilaya na Wenyeviti wa kamati za kitaalamu za maafa, wakiwemo wakuu wa Wilaya na wakurugenzi wa mabaraza ya miji na Halmashauri, Kisiwani Pemba wakiwa katika kikao cha Pamoja huko ukumbi wa Tume ya Ukimwi Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).


MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Omar Khamis Othman, akifungua kikao cha Wenyeviti wa Kamati za maafa za Wilaya na Weyeviti wa kamati za kitaalamu za maafa, kilichowashirikisha wakuu wa Mikoa, Wilaya na wakurugenzi wa mabaraza ya miji.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.