Mmkufunzi kutoka Taasisi ya Internews Samuel Musila akitowa mada kuhusiana na usalama wa
utumiaji wa mitandao kwa waandishi wa habari wanapokuwa katika kazi zao,
mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kiislam Mazizini Zanzibar
WAANDISHI
wa Habari wa Vyombo mbalimbali wakihudhuria mafunzo ya Siku moja kuhusiana na
Usalama wa Utumiaji wa Mitandao wakimsikiliza mkufunzi Samuel Musila kutoka
Taasisi ya Internews uzno yaliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kiislam Mazizini
Zanzibar
No comments:
Post a Comment