Tulioyarisi na kuyaacha bado yanaendelea kurisiwa,ndugu zangu nikiwa hapa jijiji kwetu Kengeja Kusini Pemba leo nimeshuhudia makundi ya watoto kutoka viunga tofauti vya hapa kijijini kwetu wakiendelea kifurahia sikukuu ya Eid.
Eneo hili tulitumia kaka zao siku kama hizi miaka ya nyuma ambapo sisi pia tulirisishwa na kaka na dada zetu leo wadogo zetu nao wanafurahia.
Kwa hakika haki inapendeza na inatua moyo kwa maana tulioyaacha yanaendelezwa.
RC MALIMA, MOROGORO KUWA KITOVU CHA UTALII
-
Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari kuwa mabalozi wa
utalii, kuandika taarifa zinazowavutia watalii kutoka nje na ndani ya nchi.
RC Mal...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment