Tulioyarisi na kuyaacha bado yanaendelea kurisiwa,ndugu zangu nikiwa hapa jijiji kwetu Kengeja Kusini Pemba leo nimeshuhudia makundi ya watoto kutoka viunga tofauti vya hapa kijijini kwetu wakiendelea kifurahia sikukuu ya Eid.
Eneo hili tulitumia kaka zao siku kama hizi miaka ya nyuma ambapo sisi pia tulirisishwa na kaka na dada zetu leo wadogo zetu nao wanafurahia.
Kwa hakika haki inapendeza na inatua moyo kwa maana tulioyaacha yanaendelezwa.
SACP NGOLE AKAGUA MIFUMO YA KIUSALAMA KATIKA MGODI WA ANGLO - SONGWE.
-
Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Miundombinu Muhimu Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Polisi (SACP) Richard Ngole kutoka Makao Makuu ya Polisi
Dodoma amekagua ...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment