Tulioyarisi na kuyaacha bado yanaendelea kurisiwa,ndugu zangu nikiwa hapa jijiji kwetu Kengeja Kusini Pemba leo nimeshuhudia makundi ya watoto kutoka viunga tofauti vya hapa kijijini kwetu wakiendelea kifurahia sikukuu ya Eid.
Eneo hili tulitumia kaka zao siku kama hizi miaka ya nyuma ambapo sisi pia tulirisishwa na kaka na dada zetu leo wadogo zetu nao wanafurahia.
Kwa hakika haki inapendeza na inatua moyo kwa maana tulioyaacha yanaendelezwa.
TFS WAJIVUNIA MIAKA MITATU YA UONGOZI WA RAIS SAMIA, WATAJA MAFANIKIO
LUKUKI YALIYOPATIKANA
-
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS)umesema katika kipindi cha miaka
mitatu ya uongozi wa Rais Dk.Samia Suluhu Hassan...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment