Tulioyarisi na kuyaacha bado yanaendelea kurisiwa,ndugu zangu nikiwa hapa jijiji kwetu Kengeja Kusini Pemba leo nimeshuhudia makundi ya watoto kutoka viunga tofauti vya hapa kijijini kwetu wakiendelea kifurahia sikukuu ya Eid.
Eneo hili tulitumia kaka zao siku kama hizi miaka ya nyuma ambapo sisi pia tulirisishwa na kaka na dada zetu leo wadogo zetu nao wanafurahia.
Kwa hakika haki inapendeza na inatua moyo kwa maana tulioyaacha yanaendelezwa.
SIMBA SC YAANZA VIBAYA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
-
*EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV*
*KLABU ya Simba SC imeanza vibaya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada
ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Petro...
58 minutes ago


No comments:
Post a Comment