Muonekano wa maeneo ya Mitaa ya Mchangani Unguja ukiwa katika hali ya harakati za hapa na pale kwa Wananchi wakiwa katika shughuli zao za Biashara na Wananchi kujipatia mahitaji yao ya vifaa mbalimbali katika maduka hayo maarufu kwa uuzaji wa nguo za aina mbalimbali Visiwani Zanzibar.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment