Muonekano wa maeneo ya Mitaa ya Mchangani Unguja ukiwa katika hali ya harakati za hapa na pale kwa Wananchi wakiwa katika shughuli zao za Biashara na Wananchi kujipatia mahitaji yao ya vifaa mbalimbali katika maduka hayo maarufu kwa uuzaji wa nguo za aina mbalimbali Visiwani Zanzibar.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
11 hours ago
No comments:
Post a Comment