Muonekano wa maeneo ya Mitaa ya Mchangani Unguja ukiwa katika hali ya harakati za hapa na pale kwa Wananchi wakiwa katika shughuli zao za Biashara na Wananchi kujipatia mahitaji yao ya vifaa mbalimbali katika maduka hayo maarufu kwa uuzaji wa nguo za aina mbalimbali Visiwani Zanzibar.
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment