Maandalizi wa Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Forodhani Zanzibar ukiaza ujenzi huo kwa kuwasili Wataalam wa Ujenzi Watano kutoka Nchi mbalimbali na kuungana na Wataalamu wazawa wa Zanzibar kusimamia ujenzi huo wa Ukarabati unaofanywa na Serikali ya Oman kwa gharama ya Dolla za kimarekani zaidi ya milioni Tano ili kuweza kukamilisha ukarabati huo mkubwa unaotarajiwa kuchukua miezi 18 hadi kumaliza kwake ujenzi huo.
TANESCO Yatoa Wito kwa Wananchi Kulinda Miundombinu ya Umeme wa Gridi ya
Taifa
-
Msimamizi wa Msongo wa Kilovoti 220 kwa mikoa ya Njombe na Ruvuma Mhandis
Liberatus Juma, , amewataka wananchi kutofanya shughuli za kibinadamu
karibu na m...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment