Maandalizi wa Ujenzi wa Ukarabati wa Jengo la Beit Al Jaib Forodhani Zanzibar ukiaza ujenzi huo kwa kuwasili Wataalam wa Ujenzi Watano kutoka Nchi mbalimbali na kuungana na Wataalamu wazawa wa Zanzibar kusimamia ujenzi huo wa Ukarabati unaofanywa na Serikali ya Oman kwa gharama ya Dolla za kimarekani zaidi ya milioni Tano ili kuweza kukamilisha ukarabati huo mkubwa unaotarajiwa kuchukua miezi 18 hadi kumaliza kwake ujenzi huo.
TAIFA WA DHARURA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NINO
-
Na Mwandishi wetu- Dodoma
Serikali kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,
Bunge na Uratibu inaendelea kuratibu utekelezaji wa M...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment