Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akikagua Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Ueleni Pemba.

Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, Maalimi Shehe Hassan Mohammed, akisoma risala ya ujenzi waskuli hiyo mbele ya Balozi Makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi,alipokuwa na ziara ya kutembelea Skuli hiyo.
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali Zanzibar, Riziki Pembe Juma,akitowa maelezo mafupi kwa balozi Seif Ali Iddi, na kumkaribisha katika Skuli ya Sekondari Uweleni kwa ajili ya kukaguwa maendeleo ya ujenzi wa jengo la Skuli ya Ghorofa na kuzungunza na  Walimu na Wazazi na wanafunzi wa Skuli hiyo.
Makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza na Walimu, Wazazi  na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Uweleni mara baada ya kufanya ziara ya kuangalia maendeleo ya Skuli hiyo.(Picha na Habiba Zarali - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.