6/recent/ticker-posts

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Andrew Lentz, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025. Pamoja na mambo mengine walijadiliana kuhusu ushirikiano wa kiuchumi, siasa, kijamii pamoja na miradi mbalimbali ya maendeleo baina ya Tanzania na Marekani.  

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Andrew Lentz, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, tarehe 08 Desemba, 2025.Picha na Ikulu..


Post a Comment

0 Comments