Kikosi cha Timu ya Yanga Afrika kilichotoa kipigo kwa Timu ya Malindi Sports Club ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki uliofanyika uwanja wa amaan zanzibar.Yanga imeshinda bao 2-0.Ikiwamchezo wa kirafiki maalum wa kumuaga mchezaji wao Nahodha wa zamani wa Timu ya Yanga Haroub Caravano.baada ya kustaafu kucheza mpira na kwa sasa ni meneja wa Timu ya Young African Sports Club.
Kikosi cha Timu ya Malindi Sports Club ya Zanzibar iliokubali kipigo cha bao 2-0 katika mchezo wao wa Kirafiki maalumu ulioandaliwa kwa ajili ya kumuaga nahodha wa Timu ya Yanga ya Jijini Dar es Salaam uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
No comments:
Post a Comment