Jengo la Skuli ya Sekondari na Msingi la Skuli ya Bwefum Zanzibar iliozinduliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, ikiwa ni shamrashamra ya kuadhimisha Miaka 55 ya Mapinduzi Zanzibar . iliojengwa na Kampuni ya Union Property Developpers Ltd,
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
10 hours ago
0 Comments