Mdhamini wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Kisiwani Pemba, Haroub Ali Massoud , akitowa ufafanuzi wa maeneo yanayotarajiwa kufanyiwa utafiti wa mapato na matumizi ya kaya kwa mwaka 2019/2020, huko katika ukumbi wa Baraza la Mji wa Chake Chake Pemba.
Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , Bi.Mayasa Mahfoudh, akitowa nasaha zake kwa Wadadisi na Wasimamizi wa Utafiti wa mapato na matumizi ya Kaya kwa mwaka 2019/2020 na kumkaribisha Mkuu wa mkoa wa Kusini Pemba , Hemed Suleiman Abdalla, ili kufunguwa mafunzo kwa Wadadisi hao huko katika kumbi wa Baraza la Mji Chake Chake Pemba.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba , Hemed Suleiman Abdalla, akifunguwa mafunzo ya Wadadisi na Wasimamizi wa utafifiti wa mapato na matumizi ya kaya (HBS) mwaka 2019/2020 yaliofanyika katika ukumbi wa Baraza la
Mji wa Chake Chake Pemba.
Mji wa Chake Chake Pemba.
No comments:
Post a Comment