Habari za Punde

Matukio Katika Picha Bungeni

 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angellah Kairuki akijibu hoja za baadhi ya wabunge wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu leo Bungeni leo jijini Dodoma.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akijibu swali wakati wa kikao cha sita cha Bunge leo jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akijibu swali wakati wa kikao cha sita cha Bunge leo jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Madini akijibu swali wakati wa kikao cha sita cha Bunge leo jijini Dodoma.
 Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira akijibu hoja za baadhi ya wabunge wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu leo Bungeni leo jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenyeulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) wakati wa kipindi cha maswali na majibu Bunge leo jijini Dodoma. Katikati ni  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa –TAMISEMI, Selemani Jaffo.
(Picha na: Frank Shija – MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.