6/recent/ticker-posts

Wananchi Kisiwani Zanzibar Wajumuika Katika Maziko ya Marekemu Juma Ali Juma, Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar Ndsshiri

Marehemu Juma Ali Juma aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar, aliyefarika jana katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipata matibabu katika Hospitali hiyo baada ya kupata ajali  wiki hii Zanzibar.







Post a Comment

0 Comments