Marehemu Juma Ali Juma aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwanda Zanzibar, aliyefarika jana katika Hospitali ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipata matibabu katika Hospitali hiyo baada ya kupata ajali wiki hii Zanzibar.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Malindi na JKU Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Maom Zedung Timu hizi Zimetoka Sare ya Bao 1-1
-
Wachezaji wa Timu ya JKU na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa
Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ,mchezo uliyofayika katika Uwanja wa Mao Zedung
Jijin...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment