Habari za Punde

China Yaipatia Zanzibar 100.M Kwa Miradi ya Maendeleo.

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar.Mhe. Balozi Mohammed Ramia Abduwawa akisaini Hati ya Makubaliano na Mashirikiano  na Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China Anayefanyia Kazi zake Zanzibar Mhe. Xie Xian Wu, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi ya Wizara ya Fedha na Mipango Vuga Zanzibar.
WAZIRI wa Fedha nac Mipango Zanzibar, Mhe. Balozi Mohammed Ramia Abduwawa  (kushoto) wakibadilishana hati za ushirikiano na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar, Mr. Xie Xian Wu, hafla iliofanyika ofisi za Wizara ya Fedha Vuga Mjini Zanzibar 
(Picha na Abdalla Omar ).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.