Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe
Kapteni (Mstaafu) George Mkuchika (Mb) akisisitiza umuhimu wa Waajiri kutumia
mfumo wa TEHAMA katika kutangaza nafasi za ajira ’Ajira Portal’ wakati akizindua mfumo huo ulipo chini ya Ofisi ya
Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma leo Jijini Dodoma.
Katibu
wa Sekretarieti ya Ajira katika Umumishi
wa Umma Bw. Xavier Daudi akieleza faida za mfumo mpya wa TEHAMA utakaotumika
kuwezesha waombaji wa ajira kutuma maombi yao ya ajira na kupata mrejesho wa
maombi yao leo Jijini Dodoma.
Sehemu
ya washiriki takribani 140 wa mafunzo kuhusu mfumo mpya wa maombi ya ajira
uliozinduliwa leo Jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Kapteni (Mstaafu) George Mkuchika (Mb).
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi
ya Rais, Sekretarieti ya Ajira Bi. Riziki Abraham akisisitiza jambo leo Jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa mfumo
wa TEHAMA katika kutangaza nafasi za ajira na kuendesha mchakato wa ajira ’Ajira Portal’ katika Utumishi wa Umma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Kapteni (Mstaafu) George Mkuchika (Mb) akimsikiliza
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi
wa Umma na Utawala Bora.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe
Kapteni (Mstaafu) George Mkuchika (Mb) akiwa kwenye picha ya pamoja na sehemu
ya washiriki wa mafunzo ya mfumo wa maombi ya Kazi leo Jijini Dodoma.Kulia ni Katibu
wa Sekretarieti ya Ajira katika Umumishi
wa Umma Bw. Xavier Daudi na kushoto ni Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi
wa Umma na Utawala Bora.
No comments:
Post a Comment