Habari za Punde

Makamu wa Rais swa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Azindua Unyanyasaji wa Wanawake na Watoto Masokoni Jijini Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Wajasiriamali Wanawake katika Mkoa wa Dodoma alipotembelea Mabanda ya Maonesho kwenye  Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Wajasiriamali Wanawake katika Mkoa wa Dodoma alipotembelea Mabanda ya Maonesho kwenye  Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Wajasiriamali Wanawake katika Mkoa wa Dodoma alipotembelea Mabanda ya Maonesho kwenye  Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Wajasiriamali Wanawake katika Mkoa wa Dodoma alipotembelea Mabanda ya Maonesho kwenye  Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wafanyabiashara  wa Masokoni  Wanawake na Wanancho wa Dodoma,  wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa  akihutubia kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wafanyabiashara  wa Masokoni  Wanawake na Wanancho wa Dodoma,  wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa  akihutubia kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wafanyabiashara  wa Masokoni  Wanawake na Wanancho wa Dodoma,  wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa  akihutubia kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wafanyabishara Wanawake wa Masokoni na Wananchi wa Dodoma kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Bango Juu kama ishara ya Uzindua rasmi  Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko pamoja na ugawaji wa Pikipiki 14 kwa Maafisa wa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino Dodoma kwa ajili ya kuongeza kurahisisha Usafiri katika kufanikisha kutokomeza Ukatili na Unyanyasaji kwa Wanawake na watoto . Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Katikati Mwenyekiti wa ALAT Taifa na Meya wa Manispa ya Shinyanga Mhe. Gulamhafeez Z. Mukadam na Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata Utepe kuzindua rasmi  Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko pamoja na ugawaji wa Pikipiki 14 kwa Maafisa wa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya wilaya ya Chamwino Dodoma kwa ajili ya kuongeza kurahisisha Usafiri katika kufanikisha kutokomeza Ukatili na Unyanyasaji kwa Wanawake na watoto . Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Funguo ya Pikipiki Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith S. Mahenge  Baada ya kuzindua rasmi Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko kwa ajili ya kuongeza Chachu ya kurahisisha Usafiri katika kufanikisha zoezi hilo, Jumla ya Pikipiki 14 zilitolewa kwa Mkoa wa Dodoma . Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mratibu wa Umoja wa Mataifa Tanzania Alvaro Rodriquez walipokutana kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Usawa wa Kijinsia na Uwezeshaji wanawake (UN WOMEN) Bibi. Hadon Addou  walipokutana kwenye Hafla ya Uzinduzi wa Mradi wa kutokomeza vitendo vya Unyanyasaji na Udhalilishaji Dhidi ya Wanawake na Watoto katika maeneo ya Masoko. Hafla hiyo imefanyika leo Julai 30,2019 katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.