Muonekano wa Mti wa Muembe katika eneo la makutano ya barabara ya kidongochekungu na kijangwani katika eneo maarufu uliokuweko Muembe Njungu na kupandwa muembe mwengine na tayari ukiwa umenawiri na kuaza kuzaa kwa kutoa maua.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
15 hours ago
0 Comments