NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
6 hours ago
0 Comments