Habari za Punde

Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ Yakabidhi Msaada wa Vifaa Hospitali ya Mnazi Mmoja Vyenye Thamani ya Shilingi Milioni 85


NAIBU Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte (watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto, makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.