NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
WATU 9 WAFARIKI DUNIA, 44 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI NA LORI MOROGORO
-
Farida Mangube, Morogoro
WATU tisa wamefariki dunia papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa baada ya basi
la Kampuni ya Hai lenye namba za usajili T523 EKM kugon...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment