NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
“KIBAMBA YA KISASA YAJA: KAIRUKI AAHIDI BARABARA, MAJI, ELIMU BORA NA AFYA
IMARA KWA WOTE.
-
Mgombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kibamba Anjela Kairuki amewahakikishia
wananchi wa mbezi kuwa barabara inayotokea mbezi kupitia mpiji magohe hadi
bu...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment