NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
Nani Kukupatia Mkwanja Siku ya Leo?
-
JUMAMOSI ya kibabe imefika leo na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet
kwani nafasi ya wewe kuondoka na zaidi ya Mamilioni ikiwa mikononi mwako
siku ya...
5 hours ago
0 Comments