NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA KAWE KUREJEA KAZINI HARAKA
-
*Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza leo
Septemba 16, 2025, wakati wa ziara yake ya kukagua athari za moto uliotokea
alfaji...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment