NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
NBAA YASISITIZA USHIRIKIANO NA WANAHABARI
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha
semina maalum kwa wahariri na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali
...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment