Wachezaji wa Timu ya Malindi Wanaoshiki Kombe la Washindi wakipasha misuli kabla ya kucheza mchezo wao wa Awali wa Kombe wa Shirikisho Dhidi ya Timu ya MCC kutoka Nchini Somali unaofanyika jioni hii katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
DKT JAKAYA KIKWETE AMPONGEZA MHITIMU UDSM KWA KUVUNJA REKODI YA MIAKA 32
KWA KUPATA DARAJA LA KWANZA LAW SCHOOL
-
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Rais Mstaafu Wa Awamu ya Nne Dkt
Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mhitimu wa Shahada ya Awali ya Sheria
ambaye aliv...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment