Wachezaji wa Timu ya Malindi Wanaoshiki Kombe la Washindi wakipasha misuli kabla ya kucheza mchezo wao wa Awali wa Kombe wa Shirikisho Dhidi ya Timu ya MCC kutoka Nchini Somali unaofanyika jioni hii katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment