Wananchi wanaotembelea maonyenesho ya Kilimo na Mifugo ya Nane nane, kwenye viwanja vya Taso Njiro jijini Arusha, wakipata huduma za usajili wa kadi za simu za mtandao wa Tigo kwa kutumia alama za vidole na kununua simu janja katika banda lake la maonyesho lililopo kwenye maonyesho hayo.
NBC Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano Na Wadau, Yasisitiza Mwelekeo Wake
Utoaji Huduma Jumuishi Za Kifedha
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea
kushirikiana kwa ukaribu na wadau mbalimbali wakiwemo Serikali,
wafanyabiashara, w...
30 minutes ago











0 Comments