Wananchi wanaotembelea maonyenesho ya Kilimo na Mifugo ya Nane nane, kwenye viwanja vya Taso Njiro jijini Arusha, wakipata huduma za usajili wa kadi za simu za mtandao wa Tigo kwa kutumia alama za vidole na kununua simu janja katika banda lake la maonyesho lililopo kwenye maonyesho hayo.
TTCL YAZINDUA KIFURUSHI CHA HUDUMA MLANGONI MWAKO
-
Na Mwandishi Wetu
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua kifurushi cha huduma ya
Faiba Mlangoni kwako kwa ajili ya kumuwezesha mteja kupata hud...
1 hour ago












No comments:
Post a Comment