Wananchi wanaotembelea maonyenesho ya Kilimo na Mifugo ya Nane nane, kwenye viwanja vya Taso Njiro jijini Arusha, wakipata huduma za usajili wa kadi za simu za mtandao wa Tigo kwa kutumia alama za vidole na kununua simu janja katika banda lake la maonyesho lililopo kwenye maonyesho hayo.
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS
WA ZANZIBAR
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe....
1 hour ago












No comments:
Post a Comment