Wananchi wanaotembelea maonyenesho ya Kilimo na Mifugo ya Nane nane, kwenye viwanja vya Taso Njiro jijini Arusha, wakipata huduma za usajili wa kadi za simu za mtandao wa Tigo kwa kutumia alama za vidole na kununua simu janja katika banda lake la maonyesho lililopo kwenye maonyesho hayo.
WALEMAVU WA MACHO WAPEWE FURSA KAMA WATU WENGINE
-
Na Linda Akyoo -Moshi
Mratibu wa Chama cha Wasioona Tanzania kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi
Ajira vijana na wenye ulemavu Kizito Lucas Wambura,amefanya u...
18 minutes ago
No comments:
Post a Comment