Habari za Punde

Mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika ukiendelea

 NAIBU Spika Baraza la Wawakilishi, Mgeni Hassan Juma, akiwa katika mkutano wa 50 wa  Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA), Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni (PICHA NA  ABDALLA OMAR).
 Mwenyekiti wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika, ambae pia ni Spika wa Bunge la Kenya, Jastin Mutur, (katikati) akiongoza mkutano mkuu wa mwaka wa (CPA) kanda ya Afrika hoteli ya Madinat Al Bahr (kulia ni Spika wa Bunge Tanzania, Job Agostino Ndugai na Katibu wa CPA Stephen Kagaigai (PICHA NA  ABDALLA OMAR).
 MBUNGE wa Malawi, Nancy Tembo, akichangia mada katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA) Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni (PICHA NA  ABDALLA OMAR).
WAJUMBE wa  mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika (CPA) wakifuatilia mkutano huo katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Mbweni (PICHA NA  ABDALLA OMAR).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.