Kampuni ya Simu ya Zatel ikiendelea na Zoezi la kusajili laini za simu kwa Wateja wao kwa njia za alama ya kidole, kama alivyokutwa Mwananchi huo akiwa katika zoezi hilo kwa wakala wa Zantel katika mitaa ya chakechake Pemba akijisajili.
uzinduzi wa Muongozo wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Kwa Vijana walio nje ya
Skuli Zanzibar
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Ndugu Fatma
Hamad Rajab amezitaka Taasisi na Wadau mbali mbali wa Maendeleo ya Vijana
kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment