Kampuni ya Simu ya Zatel ikiendelea na Zoezi la kusajili laini za simu kwa Wateja wao kwa njia za alama ya kidole, kama alivyokutwa Mwananchi huo akiwa katika zoezi hilo kwa wakala wa Zantel katika mitaa ya chakechake Pemba akijisajili.
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment