Habari za Punde

Mchezo wa Netiboli Ligi Kuu ya Muungano Kati ya Tamisemi na Mafunzo Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Timu ya Tamisemi Imeshinda Bao 49-45.

Mchezaji wa Timu ya Tamisemi akijiandaa kufunga wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Muungano uliofanyika kati Uwanja wa Gymkhana dhidi ya Timu ya Mafunzo.Timu ya Tamisemi imeshinda mchezo huo kwa bao.49-45.





 



No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.