Muonekano wa Jengo Jipya la Wizara ya Ardhi, Nyumba Maji na Nishati Zanzibar likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi huo kama linavyoonekana pichani likiendelea na hatuza za mwisho za ujenzi huo katika maeneo ya barabara ya maisara Suleiman Jijini Zanzibar.
SOUWASA YANG’ARA KITAIFA YASHIKA NAFASI YA PILI KWA UTOAJI HUDUMA ZA MAJI.
-
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imeendelea
kudhihirisha ubora wake katika utoaji wa huduma baada ya kushika nafasi ya
pili...
2 hours ago
0 Comments