Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Afungua Semina ya Viongozi wa Dola Kuhusu Usimamizi na Udhibiti wa Madini

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofunga semina ya Viongozi wa  Dola katika Usimamizi na Udhibiti wa Rasilimali Madini kwenye ukumbi wa St. Gaspar jijini Dodoma
Baadhi ya washiriki wa  semina ya Viongozi wa  Dola katika Usimamizi na Udhibiti wa Rasilimali Madini wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofunga semina hiyo kwenye ukumbi wa St. Gaspar jijini Dodoma,
Baadhi ya washiriki wa  semina ya Viongozi wa  Dola katika Usimamizi na Udhibiti wa Rasilimali Madini wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofunga semina hiyo kwenye ukumbi wa St. Gaspar jijini Dodoma,
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi baada ya kufunga semina ya Viongozi wa  Dola katika Usimamizi na Udhibiti wa Rasilimali Madini kwenye ukumbi wa St. Gaspar jijini Dodoma, Januari 26, 2019. Kulia ni Waziri wa Madini, Doto Biteko , Wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Madini, Stanslaus Nyongo na wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa semina ya Viongozi wa  Dola katika Usimamizi na Udhibiti wa Rasilimali Madini baada ya kuifunga semina hiyo kwenye ukumbi wa St. Gaspar jijini Dodoma, Januari 26, 2019. Waliokaa kutoka kushoto ni Katibu  Mkuu, Wizara ya Madini, Profesa. Simon Msanjila, Waziri wa Madini, Doto Biteko, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt.  Adelardus Kilangi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge na kulia ni Naibu Waziri wa Wizara ya Madini, Stanslaus Nyongo.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.