Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Busega, Dkt. Raphael Chegeni, bungeni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Mbeya Mjini,Mhe. Joseph Mbilinyi, bungeni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Joseph Haule wa Mikumi (kulia) na Peter Lijualika wa Kilombero kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge wa Viti Maalum kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Kutoka kushoto ni Cesilia Pareso, Grace Kiwelu na Risala Kabongo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Igunga, Dkt. Dalaly Kafumu kwenye jengo la utawala la bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Katikati ni Mbunge wa Viti Maalum, Shally Raymond
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na wananchi kutoka kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga waliotembelea bunge kwa mwaliko wa mbunge wao, Dkt. Dalaly Kafumu (wa pili kushoto), Februari 3, 2020. Kutoka kulia ni Abel Nching’wa, Ntemi Mboje na Mahona Lutengwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Ester Bulaya, kwenye jengo la utawala la Bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment